HABARI

WANAKANDARASI WAONYWA DHIDI YA ULEGEVU KATIKA UTEKELEZWAJI WA MIRADI YA SERIKALI KUU.

Wanakandarasi nchini wameonywa dhidi ya kutokamilisha miradi ya serikali ya kitaifa kwa wakati. Waziri wa madini na uchumi wa rasilimali ya bahari na maziwa nchini Ali Hassan Joho, amesema kuwa idadi kubwa ya miradi inayo anzishwa na serikali, imekuwa ikikawia kukamilika, pasi na sababu zozote za kimsingi. Akizungumza katika kaunti ya Kwale, kwenye ziara ya […]

WANAKANDARASI WAONYWA DHIDI YA ULEGEVU KATIKA UTEKELEZWAJI WA MIRADI YA SERIKALI KUU. Read More »

MAAFISA WA POLISI WADAIWA KUCHANGIA KATIKA VISA VYA UHALIFI NCHINI.

Wizara ya usalama imebaini kuwepo kwa maafisa wa polisi, ambao hushurikiana na wahalifu katika kuendeleza mashambulizi na wizi, wa za mali ya wananchi wa maeneo yanayo kabiliwa na ukosefu wa usalama nchini. Kulingana na waziri wa Usalama nchini Kipchumba Murkomen, baadhi ya wahalifu wamekuwa wakipewa risasi na maafisa wa polisi, wanaoshika doria katika maeneo hayo.

MAAFISA WA POLISI WADAIWA KUCHANGIA KATIKA VISA VYA UHALIFI NCHINI. Read More »

RAIS WILLIAM RUTO AKOSOA MATAMSHI YA ALIYEKUWA NAIBU WAKE RIGATHI GACHAGWA.

Rais William Ruto amemsuta aliyekuwa naibu wake Rigathi Gachagwa kutokana na kauli yake, ya misukosuko ya uongozi wa taifa hili, kwenye ziara yake kule Marekani. Kulingana na Ruto, matamshi hayo hayakupaswa kutoka kwa kinywa cha kiongozi wa haiba yake, kwa kila anachosema amehudumu katika nafasi mbali mbali za uongozi kwenye serikali ya taifa hili kwa

RAIS WILLIAM RUTO AKOSOA MATAMSHI YA ALIYEKUWA NAIBU WAKE RIGATHI GACHAGWA. Read More »