WAKAAZI WA KAUNTI YA MOMBASA WATAKIWA KUUNGA MKONO MUUNGANO WA RAIS WILLIAM RUTO NA RAILA ODINGA.
Waziri wa madini na uchumi wa rasilimali za bahari na maziwa nchini Ali Hassan Joho, amewataka wakaazi wa eneo la Kisauni kaunti ya Mombasa, kuunga mkono hatua ya Raila Odinga kuungana na Rais William Ruto. Kulingana na Joho, muungano huo, unatarajiwa kuleta umoja na uwiiano kati ya viongozi wa mirengo mbali mbali ya kisiasa, sawa […]



