HABARI

WANANCHI WA KAUNTI YA KISII WAMEZOMEA RAILA ODINGA.

Aliyekuwa waziri mkuu katika taifa hili Raila Odinga, alipata pigo kali baada ya wale walioaminika kuwa wafuasi sugu wa kiongozi huyo, kumzomea alipofika kutizama mpira wa kandanda katika uwanja wa Gusii kaunti ya Kisii. Wananchi wengi walionekana kutoka inje ya uwanja huo, wakati kiongozi huyo alipotaka kuhutubia umma, jambo ambalo pia lilionekana kumtamausha gavana wa […]

WANANCHI WA KAUNTI YA KISII WAMEZOMEA RAILA ODINGA. Read More »

”SERIKALI IMEUZA MASHAMBA YA MAGEREZA YOTE NCHINI” ASEMA RIGATHI GACHAGWA.

Aliyekuwa naibu wa Rais Rigathi Gachagua, ameibua madai ya serikali ya Rais William Ruto kuuza ukumbi wa Bomas jijini Nairobi na mashamba ya magereza yote humu nchini. Kulingana na Gachagwa, hatua hiyo imefanikishwa baada yake kubanduliwa mamlakani, akidai kuwa kwa sasa hakuna kiongozi anayepinga matakwa ya rais Ruto, kwenye baraza la mawaziri. Gachangwa ametaja viongozi

”SERIKALI IMEUZA MASHAMBA YA MAGEREZA YOTE NCHINI” ASEMA RIGATHI GACHAGWA. Read More »