RAIS WILLIAM RUTO AZIDI KUTOA AHADI KWA WAKENYA.
Rais William Ruto ameendelea kuwapatia ahadi kemkem wachezaji wa timu ya Harembe Stars, iwapo watafaulu kushinda mechi zilizoko kwenye madaraja tofauti katika mshindano ya CHAN. Akizungumza na wachezaji hao hii leo, rais Ruto ameahidi kuwazawadi shilingi milioni moja kila mchezaji na nyumba za vyumba viwili vya malazi, kupitia mpango wa ujenzi wa nyumba za bei […]
RAIS WILLIAM RUTO AZIDI KUTOA AHADI KWA WAKENYA. Read More »



