RONALDO ALALAMIKIA KUKOSA HESHIMA OLD TRAFFORD
Mshambuliaji nguli wa timu ya taifa ya ureno mwite Christiano Ronaldo amelalamikia kudharauliwa na klabu yake ya sasa Manchster united. Anasema mkufunzi mpya Erick ten Hag amekuwa akimbagua na kutosikiliza mchango wake kwa timu kama mchezaji mkongwe katika klabu hiyo. Ronaldo amekuwa na kiwango kibovu msimu huu ikizingatiwa kwamba chini ya mkufunzi mpya ronaldo ameanza […]
RONALDO ALALAMIKIA KUKOSA HESHIMA OLD TRAFFORD Read More »



