HABARI

RONALDO ALALAMIKIA KUKOSA HESHIMA OLD TRAFFORD

Mshambuliaji nguli wa timu ya taifa ya ureno mwite Christiano Ronaldo amelalamikia kudharauliwa na klabu yake ya sasa Manchster united. Anasema mkufunzi mpya Erick ten Hag amekuwa akimbagua na kutosikiliza mchango wake kwa timu kama mchezaji mkongwe katika klabu hiyo. Ronaldo amekuwa na kiwango kibovu msimu huu ikizingatiwa kwamba chini ya mkufunzi mpya ronaldo ameanza […]

RONALDO ALALAMIKIA KUKOSA HESHIMA OLD TRAFFORD Read More »

KOGALO IKO TAYARI KWA MSIMU MPYA – Johnathan McKinstry

Mkufunzi mpya wa klabu ya Kogalo Johnathan McKinstry anasema kwamba wanasubiri msimu mpya kuanza rasmi na analenga kutwa ubingwa wa ligi hiyo na kikosi chake ambacho anakitaja kwamba kiko na motisha na ubingwa. Johnathan_McKinstry ambaye amechukua hatamu ya uongozi wa klabu hiyo miezi mitatu ilopita anasema hahisi kuwa katika shinikizo kutokana na mashabiki wanaotaka ubingwa

KOGALO IKO TAYARI KWA MSIMU MPYA – Johnathan McKinstry Read More »

EMMANUEL KARISA BAYA AITAKA SERIKALI YA KILIFI KUWAJENGA UWEZO WANAWAKE KIFEDHA

Mwakilishi wa wadi ya Marafa kaunti ya Kilifi Emmanuel Karisa Baya ameitaka serikali ya kaunti ya Kilifi kuwajenga uwezo wanawake kifedha sambamba na kuwapa hamasa kuhusu namna wanaweza kujiendelea kupitia makundi ya kibiashara. Baya ameutaja kama mpango ambao utasaidia kubuni nafasi za kazi kwa vijana na wanawake walio na elimu ya kifedha. Vilevile amesema mpango

EMMANUEL KARISA BAYA AITAKA SERIKALI YA KILIFI KUWAJENGA UWEZO WANAWAKE KIFEDHA Read More »