HABARI

BAA LA NJAA LINAZIDI KUATHIRI SHUGHULI ZA MASOMO TAITA TAVETA

Wanaharakati wa kijamii kaunti ya Taita Taveta wameyashinikiza mashirika yasiokuwa ya kiserikali kushirikiana na serikali kutoa msaada wa chakula cha msaada kwa familia zinazokumbwa na makali ya njaa. Wanaharakati hao wanahofia kuwa baa la njaa litasababisha ongezeko la mimba za utotoni sawia na migogoro ya kifamilia katika kaunti hiyo ya Taita Taveta. Aidha wamesema kuna […]

BAA LA NJAA LINAZIDI KUATHIRI SHUGHULI ZA MASOMO TAITA TAVETA Read More »

WENYEJI WA MANDA WALALAMIKIA KUHANGAISHA NA WANYAMAPORI

Wenyeji wa Manda kaunti ya Lamu wamelitaka shirika la huduma kwa wanyamapori KWS, kuhakikisha linabuni mbinu za kuwadhibiti wanyamapori dhidi ya kuvamia makazi ya wenyeji. Wakaazi hao wamesema wanyamapori wamekuwa wakiwahangaisha katika makazi yao wakiitaka KWS kuwaondoa wanyamapori hao ili wasiwasababishie hasara. Aidha wamesema hawana nia ya kuwadhuru wanyamapori hao hivyo ni jukumu la KWS

WENYEJI WA MANDA WALALAMIKIA KUHANGAISHA NA WANYAMAPORI Read More »

KIHOJA CHAZUKA KAKONENI BAADA YA NG’OMBE KUZAA NDAMA MWENYE SURA YA BINADAMU

Familia moja eneo la Kakoneni wadi ya Jilore kaunti ya Kilifi imepatwa na mshangaa kufuatia tukio la ng’ombe wao kuzaa ndama aliyekuwa na viungo kama vya binadamu. Akiongea na Lulu fm, Bendera Kabaya ambaye ni mmiliki wa ng’ombe huyo amesema kuwa tukio hilo limewastaajabisha wao na hadi majirani kwani ni tukio lisilokuwa la kawaida. Kulingana

KIHOJA CHAZUKA KAKONENI BAADA YA NG’OMBE KUZAA NDAMA MWENYE SURA YA BINADAMU Read More »