MESSI ALENGA UBINGWA WA QATAR MWAKA HUU
Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Argentina Lionel Messi anasema yupo makini katika kusaidia taifa lake kuibuka na ubingwa wa taji la kombe la dunia msimu huu mashindano ambayo yanaanza rasmi siku ya jumapili katika taifa la kiarabu Qatar. Taifa la Argentina ni washindi mara mbili wa kombe la dunia kwani wamefanya hivyo mwaka 1978 […]
MESSI ALENGA UBINGWA WA QATAR MWAKA HUU Read More »



