HABARI

KASSIS SAWA TANDAZA ALALAMILIA UTOVU WA USALAMA KATIKA ENEO BUNGE LAKE

Mbunge wa Matuga kaunti ya Kwale Kassim Sawa Tandaza ameitaka idara ya usalama kaunti ya Kwale kukabiliana na magenge ya kihalifu yanayowahangaisha wakaazi wa eneo hilo. Tandaza amesema kuwa siku za hivi karibuni kumekuwa na visa vingi vya uhalifu vinavyotekelezwa na vijana kwenye maeneo mbalimbali ya eneo bunge hilo. Mbunge huyo ametoa wito kwa wazazi […]

KASSIS SAWA TANDAZA ALALAMILIA UTOVU WA USALAMA KATIKA ENEO BUNGE LAKE Read More »

Idara ya afya kaunti ya Kilifi inaendeleza shughuli za kuwarai wananchi kutoa damu itakayosaidia kuwahudumia baadhi ya wagonjwa, katika hospitali ya rufaa ya kaunti hapa mjini Malindi na maeneo mengine ya kaunti ya Kilifi Kwa mujibu wa afisa mkuu anayehusika na masuala ya ukusanyaji wa damu katika kaunti hii Lazima Katana, ongezekya Kilifi. Akizungumza na

Read More »

WAWAKILISHI WADI WA KAUNTI YA KILIFI WABUNI MBINU ZA KUIMARISHA MICHEZO NA SANAA KILIFI

Wawakilishi wadi wa kaunti ya kilifi wamebuni mbinu ambazo zitasaidia kaunti hii kukuza talanta na michezo, tamaduni miongoni mwa vijana. Wakiongozwa na makamu mwenye kiti wa jinsia utamaduni na sana na michezo katika bunge hilo Maurice wanje ambaye pia ni mwakilishi wadi ya ganda viongozi hao wamesema tayari wamebuni hoja zitakazowasilishwa katika bunge hilo ili

WAWAKILISHI WADI WA KAUNTI YA KILIFI WABUNI MBINU ZA KUIMARISHA MICHEZO NA SANAA KILIFI Read More »