HABARI

MSHUKIWA MMOJA WA VISA VYA UVAMIZI ENEO LA KISAUNI ATIWA MBARONI

Kamishna wa kaunti ya Mombasa John Otieno amesema wamefanikiwa kumnasa mmoja wa washukiwa wa visa vya uvamizi katika eneo bunge la Kisauni. Kulingana na kamishna huyo mshukiwa huyo ambaye ni miongoni mwa wale ambao wanahusishwa na visa vya uvamizi ambavyo viliripotiwa kwenye eneo bunge hilo siku chache zilizopita, alinaswa kufuatia ushirikiano baina ya wenyeji na […]

MSHUKIWA MMOJA WA VISA VYA UVAMIZI ENEO LA KISAUNI ATIWA MBARONI Read More »

KAMISHNA WA KAUNTI YA LAMU AWATAKA WENYEJI KUWA NA SUBIRA

Kamishna wa kaunti ya Lamu Irungu Macharia amesema wenyeji wa kaunti hiyo wataendelea kusubiri kwa muda kabla ya kuruhusiwa kwa usafiri wa usiku kwenye barabara kuu ya Lamu – Witu – Garsen. Macharia amesema wanaendelea kujadiliana na vitengo husika wakiwemo maafisa wa usalama pamoja na wamiliki magari ya uchukuzi wa umma ili kuona ni lini

KAMISHNA WA KAUNTI YA LAMU AWATAKA WENYEJI KUWA NA SUBIRA Read More »

KAMISHNA WA KAUNTI YA LAMU ASEMA USALAMA UMEIMARISHWA

Serikali ya kaunti ya Lamu imewahikikishia usalama wa kutosha wageni pamoja na wenyeji wanaotarajiwa kuhudhuria sherehe za kitamaduni zinazotarajiwa kufanyika mwezi huu. Kamishna wa kaunti ya Lamu Irungu Macharia amesema kuwa maafisa wa usalama kwenye vitengo vyote wameagizwa kushika doria kudumisha usalama ikiwa zimesalia wiki mbili pekee kabla ya kufanyika kwa sherehe hizo kisiwani amu.

KAMISHNA WA KAUNTI YA LAMU ASEMA USALAMA UMEIMARISHWA Read More »