RAIS RUTO AITAKA KRA KUONGEZA MAPATO YAKE YA USHURU
Rais William Ruto ameitaka halmashauri ya ukusanyaji ushuru nchini KRA kuongeza mapato yake ya ushuru kutoka lengo la shilingi trilioni tatu hadi nne. Kwa mujibu wa Ruto hii ndio njia pekee ya kuiwezesha serikali kutekeleza ahadi ilizotoa kwa wakenya na kulipa madeni. Rais Ruto ameyasema haya wakati wa ibada ya Jumapili mtaani Karen jijini Nairobi […]
RAIS RUTO AITAKA KRA KUONGEZA MAPATO YAKE YA USHURU Read More »



