HABARI

NTSA YAZINDUA TEKNOLOJIA INAYOTUMIA KAMERA ZA CCTV KUIMARISHA USALAMA BARABARANI

Halmashauri ya uchukuzi na usalama barabarani NTSA kwa ushirikiano na wadau katika sekta ya uchukuzi wamezindua teknolojia inayotumia kamera za CCTV kufuatilia usalama wa madereva barabarani na iwapo wanafuatilia kanuni zilizowekwa. Wakizungumza mjini Mombasa, NTSA imesema kuwa teknolojia hiyo inalenga madereva wa masafa marefu na kudai kuwa asilimia 85 ya ajali zinazoripotiwa nchini ni kutokana […]

NTSA YAZINDUA TEKNOLOJIA INAYOTUMIA KAMERA ZA CCTV KUIMARISHA USALAMA BARABARANI Read More »

KINARA WA AZIMIO LA UMOJA ONE KENYA RAILA ODINGA AITAKA SERIKALI KUBATILI MSIMAMO WAKE KUHUSU GMO

Kiongozi wa upinzani, Raila Odinga ameitaka serikali kubatili agizo lake la kuruhusu chakula kinachozalishwa kijenetiki yani kisaki kuingizwa humu akisema kuwa GMO ni hatari sana kwa afya. Mbali na athari za kiafya, Raila amesema uwepo wa vyakula hivyo vya kijenetiki utapelekea wakulima wa humu nchini kukosa soko la mazao yao. Raila pia ametaka mashirika ya

KINARA WA AZIMIO LA UMOJA ONE KENYA RAILA ODINGA AITAKA SERIKALI KUBATILI MSIMAMO WAKE KUHUSU GMO Read More »