SERIKALI KUU NA YA KAUNTI YA KILIFI ZAWEKA MIKAKATI KUKABILIANA NA VISA VYA MIMBA ZA UTOTONI
Serikali ya kitaifa kwa ushirikiano na ya kaunti ya Kilifi zimeweka mikakati katika kuhakikisha zinakabiliana na visa vya mimba za utotoni katika kaunti ya Kilifi. Haya ni kulingana na waziri wa Umma na jinsia nchini Aisha Jumwa, ambaye amewataka wadau mbalimbali katika idara ya usalama kaunti ya Kilifi kushirikiana katika kuwakabili wale wanaoripotiwa kutekeleza visa […]



