HABARI

BAADHI YA VIONGOZI KAUNTI YA KILIFI WATOA WITO KWA WAZAZI KUWA KARIBU NA WATOTO WAO WA KIKE

Viongozi wa kisiasa kaunti ya Kilifi wametoa wito kwa wazazi kaunti ya Kilifi kuchukua jukumu la kuzungumza na watoto wao wa kike kuhusiana na athari za kushiriki ngono wakiwa na umri. Wakiongozwa na Naibu gavana wa kaunti ya Kilifi Magret Chibule, pamoja na Mwakilishi wa kike kaunti ya Kilifi Getrude Mbeyu, ambao walikuwa wakizungumza katika […]

BAADHI YA VIONGOZI KAUNTI YA KILIFI WATOA WITO KWA WAZAZI KUWA KARIBU NA WATOTO WAO WA KIKE Read More »

GAVANA WA KWALE AWATAKA MAAFISA WA POLISI KUTOINGILIA MASWALA YA ARDHI ENEO LA SHIMONI

Gavana wa Kwale Fatuma Achani amewataka maafisa wa polisi kwenye kaunti hiyo kutoingilia maswala ya umiliki wa ardhi eneo la Shimoni. Akizngumza katika eneo hilo, Achani anadai baadhi ya maafisa hao wamekuwa wakitumiwa visivyo na mabwenyenye kuwadhulumu wenyeji mashamba yao. Gavana huyo amemtaka kamishna wa kaunti ya Kwale Gideon Oyagi kuhakikisha maafisa wake hawajihusishi na

GAVANA WA KWALE AWATAKA MAAFISA WA POLISI KUTOINGILIA MASWALA YA ARDHI ENEO LA SHIMONI Read More »

SHEREHE ZA UTAMADUNI KISIWANI LAMU KUANZA WIKII HII

Sherehe za utamaduni kaunti ya Lamu zinatarajiwa kuanza juma hili katika kisiwa cha Amu. Sherehe hizo ni kubwa zaidi kuwahi kufanyika tangu kuanza kuadhimishwa miaka ishirini iliyopita. Kulingana na katibu wa serikali ya kaunti ya Lamu Ali Abbas zaidi ya wageni elfu 30 wanatarajiwa kuhudhuria sherehe hizo. Abbas amesema wamejumuisha makabila yote kwenye kaunti hiyo

SHEREHE ZA UTAMADUNI KISIWANI LAMU KUANZA WIKII HII Read More »