SAUDI ARABIA NI SIKUKUU BAADA YA KUISHINDA ARGENTINA 2-1, GIROUD KUFIKIRIA REKODI YA HENRY
Leo ni siku kuu katika taifa la Saudia Arabia kufuatia tangazo la jana la mfalme wa taifa hilo Salman kusema wananchi wanapasa kusherehekea ushindi wa timu yao ya taifa walipoichana timu ya taifa ya Argentina katika mechi yao ya ufunguzi kwenye mashindano yanayoendelea katika taifa la Qatar. Saudi Arabia iliitandika Argentina kichapo cha mabao 2-1 […]



