DANSON MWASHAKO ADAI WENYEJI WA WUNDANYI HAWAJAKUWA WAKINUFAIKA NA SHUGHULI ZA UCHIMBAJI MADINI
Mbunge wa Wundanyi kaunti ya Taita Taveta Danson Mwashako amesema wenyeji wa kaunti hiyo hawajakuwa wakinufaika na shughuli za uchimbaji madini ambazo zinaendelezwa na mwekezaji mmoja wa kibinafsi. Mwashako anadai mwekezaji huyo amekiuka sheria za uchimbaji madini kwani amekuwa akikwepa kutoa asilimia ya mgao wa fedha kwa wenyeji kutokana na madini hayo. Aidha, amesema licha […]



