HABARI

SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI YABUNI KITENGO MAALUM CHA KUFUATILIA SHUGHULI ZOTE ZA MIRADI YA KAUNTI

Gavana wa kaunti ya Kilifi Gideon Mung’aro ameseme wamebuni kitengo maalum ambacho kitakuwa kikifuatilia shughuli zote za miradi ya kaunti ya Kilifi ili kuhakisha inatekelezwa kama ilivyokuwa imeratibiwa. Kulingana na Mung’aro ni kitengo ambacho kitasaidia katika kukabiliana na visa vya ufisadi kwenye miradi ambayo inafanywa na serikali ya kaunti ya Kilifi. Ametaja visa hivyo kuwa […]

SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI YABUNI KITENGO MAALUM CHA KUFUATILIA SHUGHULI ZOTE ZA MIRADI YA KAUNTI Read More »

GAVANA DHADHO GODHANA ATAKIWA KUWASILISHA MAJINA YA MAWAZIRI WATEULE

Mwakilishi wa wadi ya Garsen ya Kati kaunti ya Tana River Masha Boru amemtaka gavana wa kaunti hiyo Dhadho Godhana kuwasilisha orodha mpya ya majina ya mawaziri wateule baada ya mawaziri watatu waliopendekezwa na gavana huyo kukosa kuidhinishwa na bunge la kaunti ya Tana River. Boru ambaye aliwahi kuhudumu kama kiongozi wa wengi kwenye bunge

GAVANA DHADHO GODHANA ATAKIWA KUWASILISHA MAJINA YA MAWAZIRI WATEULE Read More »

WAHUDUMU WA AFYA WA NYANJANI KAUNTI YA KILIFI WALALAMIKA

Wahudumu wa afya wa nyanjani kaunti ya Kilifi wametoa wito kwa Serikali ya kaunti ya Kilifi na idara ya afya kwa jumla kuwatambua katika utendakazi wao wanaofanyia jamii. Wakiongozwa na Michael Ruwa almaarufu Kadzaya Wanadai kutotambuliwa na serikali ya kaunti ya Kilifi pamoja na wahudumu wa afya katika hospitali za kaunti ya Kilifi hususan hospitali

WAHUDUMU WA AFYA WA NYANJANI KAUNTI YA KILIFI WALALAMIKA Read More »