SENEGAL KUVAANA NA UINGEREZA HATUA YA 16 BORA
Mashindano ya kombe la dunia yanazidi kupamba moto na tuko katika hatua za mwisho mwisho kubaini wale ambao wanapanmda hatua za 16. Kufikia sasa mataifa saba yashapanda daraja hadi kumi na 16 bora ambapo ni pamoja na Brazil, Ufaransa, Ureno licha ya kwamba wote hao wamebakisha mecho moja kwa makundi wakati baada ya mechi za […]
SENEGAL KUVAANA NA UINGEREZA HATUA YA 16 BORA Read More »



