HABARI

SERIKALI YA MOMBASA KUANZISHA MRADI WA KAZI MTAANI

Serikali ya kaunti ya Mombasa inapanga kuanzisha mradi wa kazi mtaani kwa vijana msimu huu wa likizo ya disemba mradi ambao ulikuwa ukifanywa na serikali kuu. Ni mswada ambao ulipendekezwa na kupitishwa bungeni na wawakilishi wa wadi katika bunge la kaunti ya Mombasa juma lililopita. Akizungumza kwenye kaunti ya Mombasa Abdulswamad Shariff Nassir amepongeza mswada […]

SERIKALI YA MOMBASA KUANZISHA MRADI WA KAZI MTAANI Read More »

WANAHARAKATI WA KIMAENDELEO KAUNTI YA KILIFI WAIPONGEZA MAHAKAMA

Baadhi ya wanaharakati wa kimaendeleo katika shirika la kijamii la Kilifi Citizen Forum katika eneo bunge la Kaloleni kaunti ya Kilifi, wamepongeza hatua ya mahakama kubatilisha uamuzi wa serikali kuu, kuagiza mbegu za vyakula vya kisaki yaani GMO. Kwa mujibu wa wanaharakati hao serikali ya Kenya Kwanza, ilikiuka katiba kwani ili kosa kuwahusisha wananchi, katika

WANAHARAKATI WA KIMAENDELEO KAUNTI YA KILIFI WAIPONGEZA MAHAKAMA Read More »

HAMASA ZAZIDI KUTOLEWA KUHUSU NAMNA YA KUWALINDA WATOTO DHIDI YA KUDHULUMIWA TANA RIVER

Hamasa zimezidi kutolewa kwa jamii hasa kwa watoto katika kaunti ya Tana River kuhusu mbinu za kupiga ripoti wakati wanapodhulumiwa kama vile kingono. Mwendesha mashtaka katika mahakama ya Garsen kaunti ndogo ya Tana Delta Kaunti ya Tana River Ben Kandie ameongoza zoezi la kutoa hamasa hizo kwa makundi ya watoto eneo hilo. Kandie amewashinikiza watoto

HAMASA ZAZIDI KUTOLEWA KUHUSU NAMNA YA KUWALINDA WATOTO DHIDI YA KUDHULUMIWA TANA RIVER Read More »