HABARI

SERIKALI KUFANYA MICHEZO KUWA KITEGA UCHUMI

Rais William Ruto anaahidi kuwezesha michezo kuwa kitega uchumi kwa vijana wengi katika taifa hili kama njia moja ya kuwakwamua kutokana na umaskini. Ruto ambaye alikuwa anahotubia taifa Jumatatu katika sherehe za Jamhuri alisema kwamba analenga kutumia mradi wa Talanta Hela kama njia ya kuwafanya vijana kutangaza talanta zao kutoka mashinani na kupitia mradi huo […]

SERIKALI KUFANYA MICHEZO KUWA KITEGA UCHUMI Read More »

MESSI KUSTAFU SOKA LA KITAIFA BAADA YA FAINALI ZA MWAKA HUU.

Lionel Messi mchezaji wa zamani wa klabu ya Barcelona ambaye kwa sasa anakipiga kunako klabu ya Paris SG amethibitisha kwamba atakuwa anastafu rasmi soka la kimataifa baada ya kucheza fainali za siku ya jumapili wakati ambapo mashindano ya kombe la dunia yatakuwa yanatamatika rasmi. Hii itakuwa ni mara ya pili Messi atakuwa anacheza fainali za

MESSI KUSTAFU SOKA LA KITAIFA BAADA YA FAINALI ZA MWAKA HUU. Read More »