KARIM BENZEMA KUITWA KWENYE FAINALI ZA KOMBE LA DUNIA
Mshambuliaji wa klabu ya Real Madrid Karim Benzema huenda akaitwa rasmi katika kikosi cha timu ya taifa ya Ufaransa kinachoongozwa na mkufunzi Didier Deschamps ili kuongeza nguvu katika kikosi kitakacho ng’ang’ania ubingwa wa kombe la dunia mwaka huu. Mkufunzi Deschamps licha ya Karim Benzema kukosekana katika mechi za awali za mashindano ya kombe dunia kutokana […]
KARIM BENZEMA KUITWA KWENYE FAINALI ZA KOMBE LA DUNIA Read More »



