HABARI

KARIM BENZEMA KUITWA KWENYE FAINALI ZA KOMBE LA DUNIA

Mshambuliaji wa klabu ya Real Madrid Karim Benzema huenda akaitwa rasmi katika kikosi cha timu ya taifa ya Ufaransa kinachoongozwa na mkufunzi Didier Deschamps ili kuongeza nguvu katika kikosi kitakacho ng’ang’ania ubingwa wa kombe la dunia mwaka huu. Mkufunzi Deschamps licha ya Karim Benzema kukosekana katika mechi za awali za mashindano ya kombe dunia kutokana […]

KARIM BENZEMA KUITWA KWENYE FAINALI ZA KOMBE LA DUNIA Read More »

REGRAGUI AWAPA SHAVU ATLAS LIONS LICHA YA KUPOTEZA MECHI YA NUSU FAINALI

Mkufunzi wa timu ya taifa ya Morocco Walid Regragui amewapongeza vijana wake wa Atlas Lions kwa kuonyesha kiwango kizuri katika mechi ya Jumatano licha ya kutandikwa kichapo cha 2-0 na timu ya taifa ya ufaransa, kichapo ambacho kiliwafanya kuachana na azma yao ya kuwinda ubingwa wa dunia. Regragui amesema kumakinika kwa vijana wake ndio jambo

REGRAGUI AWAPA SHAVU ATLAS LIONS LICHA YA KUPOTEZA MECHI YA NUSU FAINALI Read More »

MBUNGE WA MALINDI AMINA MNYAZI ATANGAZA NAFASI ZA UFADHILI WA MASOMO

Afisi ya mbunge wa Malindi kaunti ya Kilifi Amina Mnyazi, imetangaza kuwepo kwa nafasi elfu moja za ufadhili wa masomo ya kozi mbalimbali za kibiashara kupitia mitandao. Kulingana na mbunge huyo kuna umuhimu mkubwa kwa wananchi katika eneo la Malindi kaunti ya Kilifi, kuthamini masomo hayo kupitia kwa mitandaoili kuboresha viwango vya elimu eneo bunge

MBUNGE WA MALINDI AMINA MNYAZI ATANGAZA NAFASI ZA UFADHILI WA MASOMO Read More »