HABARI

GAVANA ABDULSWAMAD SHARIF NASSIR APANIA KUFANYA UKAGUZI KUBAINI WAFANYIKAZI HEWA MOMBASA

Gavana wa kaunti ya Mombasa Abdulswamad Shariff Nassir, anapanga kufanya ukaguzi ili kubaini wafanyikazi halali walioajiriwa na serikali ya kaunti ya Mombasa. Akizungumza kwenye hafla ya uzinduzi wa maabara ya kidijitali ya BIONEAR, katika ukumbi wa Treasury Square kaunti ya Mombasa, Nassir amesema kuna baadhi wafanyikazi hewa ambao wanalipwa mshahara kila mwezi na serikali ya […]

GAVANA ABDULSWAMAD SHARIF NASSIR APANIA KUFANYA UKAGUZI KUBAINI WAFANYIKAZI HEWA MOMBASA Read More »

BUNGE LA KAUNTI YA KWALE LAPITISHA BAJETI YA ZIADA YA SHILINGI MILIONI 25

Bunge la kaunti ya Kwale limepitisha bajeti ya ziada ya shilingi milioni 25, zitakazotumika kuboresha huduma katika hospitali ya rufaa ya Msambweni. Mwakilishi wa wadi ya Ramisi kaunti ya Kwale, Hanifah Mwajirani amesema fedha hizo zinalenga kuimarisha shughuli za utoaji matibabu katika hospitali hiyo. Mwajirani ambaye pia ni kiongozi wa wengi katika bunge la kaunti

BUNGE LA KAUNTI YA KWALE LAPITISHA BAJETI YA ZIADA YA SHILINGI MILIONI 25 Read More »

IDADI NDOGO YA WENYEJI WA SHELLA KAUNTI YA KILIFI YAJITOKEZA KWENYE KIKAO CHA WANANCHI KUTOA MAONI

Idadi kubwa ya wanajamii katika wadi ya Shella mjini Malindi kaunti ya Kilifi wamenyooshewa kidole cha lawama kwa kususia kikao cha wananchi kutoa maoni yao, kuhusiana muongozo wa utendakazi wa serikali ya kaunti ya Kilifi katika hatamu yake ya uongozi wa miaka mitano. Kwa mujibu wa msimamizi wadi hiyo ya Shella Zamzam Mohammed, huenda matakwa

IDADI NDOGO YA WENYEJI WA SHELLA KAUNTI YA KILIFI YAJITOKEZA KWENYE KIKAO CHA WANANCHI KUTOA MAONI Read More »