HABARI

THOMAS SANKEI ALALAMIKIA IDADI KUBWA YA WANAFUNZI TANA RIVER KUACHA MASOMO

Kamishna wa kaunti ya Tana River Thomas Sankei amelalamikia idadi kubwa ya wanafunzi kwenye kaunti hiyo kuacha masomo na pia idadi ya watahiniwa kupungua. Kutokana na hali hiyo sasa amewataka viongozi wa kaunti hiyo kufanya kikao cha dharura ili kujadili msatakabi wa elimu kwenye kaunti ya Tana River. Amesema ni lazima hatua za haraka zichukuliwe […]

THOMAS SANKEI ALALAMIKIA IDADI KUBWA YA WANAFUNZI TANA RIVER KUACHA MASOMO Read More »

ANDREW MWADIME ASEMA WAMEAFIKIANA NA WIZARA YA MAJI NCHINI KUBUNI JOPO LAKUFANYIA MAREKEBISHO YA SHERIA

Mwenyekiti wa kamati ya maji, Raslimali, utalii na Mazingira katika baraza la magavana nchini ambaye pia ni gavana wa kaunti ya Taita Taveta Andrew Mwadime amesema wameafikiana na wizara ya maji kubuni jopo ambalo litafanyia marekebisho ya sheria inayosimamia raslimali za maji mwaka 2016. Mwadime amesema hatua hiyo inalenga kuweka wazi majukumu ya serikali kuu

ANDREW MWADIME ASEMA WAMEAFIKIANA NA WIZARA YA MAJI NCHINI KUBUNI JOPO LAKUFANYIA MAREKEBISHO YA SHERIA Read More »

WAZAZI ENEO LA MSAMBWENI WAENDELELEA KUHIMIZWA KUWA KARIBU NA WATOTO WAO

Naibu kamishna wa eneo bunge la Msambweni kaunti ya Kwale Kipkoech Lotiatia amewataka wazazi eneo hilo kuwalinda watoto wao msimu huu wa likizo ndefu ya mwezi wa Disemba. Lotiatia amesema ni vyema kwa wazazi kuwa karibu na watoto wao ili kuwalinda dhidi ya kushawishika kutumia dawa za kulevya na mambo mengine maovu ambayo huenda yakawaathiri

WAZAZI ENEO LA MSAMBWENI WAENDELELEA KUHIMIZWA KUWA KARIBU NA WATOTO WAO Read More »