RAIS RUTO AELEZA MATUMAINI YA KUPUNGUA KWA GHARAMA YA UMEME NCHINI
Rais William Samoei Ruto amesema gharama ya juu ya umeme nchini itashughulikiwa baada ya wadau husika kufanya utathmini upya wa bei ya kawi kulingana na muda ambao umetengwa kisheria. Akizungumza jana akiwa kwenye ikulu ya Nairobi katika mahojiano na wanahabri, Rais Ruto amesema kwa sasa serikali inaendeleza mikakati kuhakikisha gharama ya umeme inapungua nchini ili […]
RAIS RUTO AELEZA MATUMAINI YA KUPUNGUA KWA GHARAMA YA UMEME NCHINI Read More »



