HABARI

ZOEZI LA UPIGAJI KURA LINAENDELEA KATIKA WADI YA SHELLA KISIWANI LAMU

Zoezi la upigaji kura linaendelea katika wadi ya Shella kaunti ya Lamu baada ya kung’oa nanga leo mwendo wa saa kumi na mbili asubuhi. Wenyeji wa wadi ya Shella wanapiga kura kumchagua mwakilishi wa wadi mwingine baada ya kujiuzulu kwa Azhar Ali Mbarak ambaye kwa sasa ni spika wa bunge la kaunti ya Lamu. Wadi […]

ZOEZI LA UPIGAJI KURA LINAENDELEA KATIKA WADI YA SHELLA KISIWANI LAMU Read More »

MAAFISA WA KWS NA WENYEJI WA TAITA TAVETA WAHIMIZWA KUKABILIANA NA UHASAMA WA MARA KWA MARA

Wito wa ushirikiano umetolewa baina ya maafisa wa shirika la huduma kwa wanyamapori KWS na wakaazi wa kaunti ya Taita Taveta kwa minajili ya kukabiliana na uhasama wa mara kwa mara kati ya wakaazi na wanyamapori. Kwa mujibu wa wakaazi wa maeneo mbalimbali ya kaunti hiyo wakiwemo wale wa Kishushe, kaunti ndogo ya Wundanyi wamesema

MAAFISA WA KWS NA WENYEJI WA TAITA TAVETA WAHIMIZWA KUKABILIANA NA UHASAMA WA MARA KWA MARA Read More »

ASKARI 100 WA NPR KUONGEZWA KAUNTI YA LAMU

Waziri wa usalama wa ndani Prof. Kithure Kindiki ametangaza kubadili mfumo wa oparesheni ya kukabili wahalifu katika kaunti ya Lamu. Kindiki aliyezuru eneo hilo jana ambalo lililoshuhudia mashambulizi kadhaa majuma yaliyopita ameamuru kuajiriwa kwa askari 100 wa akiba NPR watakaokabidhiwa bunduki kudumisha usalama. Ujio wa Kindiki katika kaunti hiyo unajiri baada ya mashambulizi kadhaa yaliyosababisha

ASKARI 100 WA NPR KUONGEZWA KAUNTI YA LAMU Read More »