RUTO AMUAHIDI RAIS SEBASTIAN COE KUPIGA VITA UKOSEFU WA MAADILI KATIKA RIADHA
Rais William Ruto leo ameuhakikishia muungano wa riadha duniani kwamba serikali yae inalenga kushinda vita dhidi ya matumizi ya dawa za kututumua misuli atika lengo la kuimarisha uadilifu wa wanariadha atika mashindano mbalimbali ya ndani ya nchi na kimataifa. Ruto ambaye amekutana na rais wa riadha za dunia Sebastian Coe katika ikulu ya Nairrobi ameahidi […]
RUTO AMUAHIDI RAIS SEBASTIAN COE KUPIGA VITA UKOSEFU WA MAADILI KATIKA RIADHA Read More »



