ROBERTO MARTINEZ APATA KAZI YA UKOCHA URENO
Aliyekuwa Mkufunzi mkuu wa timu ya taifa ya Ubelgiji, Roberto Martinez ametangazwa rasmi kama mkufunzi mpya wa timu ya taifa la Ureno kwenye mkataba utakao mruhusu mkufunzi huyo kuwa katika timu hiyo hadi mwaka 2026. Martinez alijiuzulu rasmi kutoka ukocha wa timu ya taifa ya ubelgiji baada ya kuwa na matokeo mabaya kwenye kombe la […]
ROBERTO MARTINEZ APATA KAZI YA UKOCHA URENO Read More »



