CHRISTIAN ATSU ANUSURIKA UTURUKI
Naibu Rais wa klabu ya Hatayspor Mustafa Ozat amethibitisha kwamba Christian Atsu mchezaji wa klabu hiyo amenusuriwa akiwa na majeraha kutoka kwenye vifusi vilivyosababishwa na mtetemeko wa ardhi uliotokea kusini mwa taifa ya Uturuki. Hata hivyo mkurugenzi wa michezo katika klabu hiyo Taner Savut anasalia kukwama katika vifusi huku juhudi za kuokoa watu zikiendelea. Kufikia […]
CHRISTIAN ATSU ANUSURIKA UTURUKI Read More »



