SAMSON ZIA ASEMA HAKUNA MTU ANAPASWA KULIPA FEDHA ILI KUPEWA BASARI WADI YA ADU.
Mwakilishi wa wadi ya Adu eneo bunge la Magarini kaunti ya Kilifi, Samson Zia amesema hakuna mwananchi anayepaswa kulipa ada yoyote ili kupata fedha za ufadhili wa masomo ya watoto wao kupitia basari za serikali za kaunti ama hata ile ya kitaifa. Zia amesema wameweka mikakati ya kuhakikisha hakuna ambaye, analaghaiwa na baadhi ya wale […]
SAMSON ZIA ASEMA HAKUNA MTU ANAPASWA KULIPA FEDHA ILI KUPEWA BASARI WADI YA ADU. Read More »



