HABARI

UJENZI WA KITUO CHA MATIBABU YA UGONJWA WA SARATANI KUANZISHWAKAUNTI YA TAITA TAVETA

Serikali ya kaunti ya Taita Taveta imeanzisha rasmi ujenzi wa kituo cha matibabu ya ugonjwa wa Saratani. Kulingana na Gavana wa kaunti hiyo Andrew Mwadime, ni kuwa ujenzi wa jumba la kisasa ambalo litatumika kama kituo cha afya cha ugonjwa huo, litajengwa kwa takriban siku 150 na kukamilishwa. Akizungumza na wananchi katika kaunti hiyo, gavana […]

UJENZI WA KITUO CHA MATIBABU YA UGONJWA WA SARATANI KUANZISHWAKAUNTI YA TAITA TAVETA Read More »

TATIZO LA UHABA WA MAJI ENEO BUNGE LA MAGARINI KAUNTI YA KILIFI KUPATA SULUHU LA KUDUMU

Huenda matatizo ya uhaba wa maji katika eneo bunge la Magarini kaunti ya Kilifi yakapata suluhu la kudumu. Hii ni baada ya wizara ya maji katika kaunti Kilifi kutekeleza zoezi la kutathmini chanzo cha tatizo hilo na jinsi linaweza kutetuliwa kwa haraka na kuongeza kuwa watatoa ripoti kamili kuhusiana na zoezi hilo hivi karibuni. Kwa

TATIZO LA UHABA WA MAJI ENEO BUNGE LA MAGARINI KAUNTI YA KILIFI KUPATA SULUHU LA KUDUMU Read More »

RAILA ODINGA APENDEKEZA KILA KAUNTI KUWA NA TUME YA IEBC

Kinara wa Azimio la Umoja One Kenya Raila Odinga amependekeza kila kaunti  nchini kuwa na tume yake ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC ambayo itaendeleza shughuli zake kwa uhuru pasipo kuunganika na ile ya kitaifa. Akizungumza katika uwanja wa Kamukunji kaunti ya Naiobi hapo jana, Raila amesema kuwa hali hiyo itasaidia kuhakikisha kuwa kuna usawa

RAILA ODINGA APENDEKEZA KILA KAUNTI KUWA NA TUME YA IEBC Read More »