RAIS RUTO ARIDHISHWA NA UAMUZI WA WAKENYA KUAZIMIA KULIPA USHURU
Mjadala kuhusu ulipaji ushuru umeendelea kutawala majukwaa ya kisiasa baina ya serikali ya kenya kwanza na azimio la umoja one kenya huku rais William Ruto sasa akisema ameridhishwa na uamuzi wa Wakenya kuazimia kulipa ushuru. Akionekana kumjibu mamaNgina Kenyatta baada ya kauli yake kuhusu mdahalo huu mapema wikendi iliopita, Rais Ruto pia ameiagiza halmashauri ya […]
RAIS RUTO ARIDHISHWA NA UAMUZI WA WAKENYA KUAZIMIA KULIPA USHURU Read More »



