HABARI

MPANGO WA SERIKALI KUU KUAFIKIA UPANZI WA MITI BILIONI 15 UKAKOSA KUAFIKIWA

Huenda mpango wa serikali kuu kuafikia upanzi wa miti bilioni 15 kufikia mwaka wa 2032 ukakosa kufaulu, kutokana na hatua ya baadhi ya miti hiyo kupandwa katika maeneo kame ambapo miti hiyo hushindwa kustahimili kiangazi kikali. Haya ni kwa mujibu wa mwanaharakati wa kimazingira katika shirika KILIFI CLIMATE CHANGE GOVERNANCE PLATTFORM, Kelly Robert Banda akiwa  […]

MPANGO WA SERIKALI KUU KUAFIKIA UPANZI WA MITI BILIONI 15 UKAKOSA KUAFIKIWA Read More »

MWAKILISHI WA WADI YA MWANAMWINGA EDWARD ZIRO ATOA WITO KWA WAZAZI KUHAKIKISHA WATOTO WAO WANAJIUNGA NA SHULE ZA UPILI

Mwakilishi wa wadi ya Mwanamwinga kaunti ya Kilifi Edward Ziro ametoa wito kwa wazazi ambao watoto wao walimaliza darasa la nane wanajiunga na shule za upili ili kuendeleza masomo yao. Ziro amesema ni kupitia ushirikiano ndipo watoto wote wataendelea kusoma bila kukabiliwa na changamoto zozote. Aidha, Edward Ziro ameeleza kusikitishwa na namna vijana wengi katika

MWAKILISHI WA WADI YA MWANAMWINGA EDWARD ZIRO ATOA WITO KWA WAZAZI KUHAKIKISHA WATOTO WAO WANAJIUNGA NA SHULE ZA UPILI Read More »

AHMED KOMBO AHMED AELEZA KURIDHISHWA NA HATUA ZIMEPIGWA KUFANIKISHA MTAALA WA CBC

Naibu katibu wa muungano wa walimu KNUT tawi la Mombasa Ahmed Kombo Ahmed ameeleza kuridhishwa na hatua na mikakati iliyoko katika utekelezaji wa mtaala wa umilisi wa CBC hadi kufikia sasa tangu kuanzishwa nchini. Akizungumza na wanahabari Kombo amesema wazazi wanapaswa kuthamini mtaala huo na pia kujukumika katika kuwatimizia mahitaji mbalimbali ya watoto wao ili

AHMED KOMBO AHMED AELEZA KURIDHISHWA NA HATUA ZIMEPIGWA KUFANIKISHA MTAALA WA CBC Read More »