HABARI

MASON GREEENWOOD APATA UHURU BAADA YA MASHTAKA DHIDI YAKE KUONDOLEWA

Ni rasmi sasa kinda wa timu ya taifa ya uingereza pamoja na klabu ya Manchester united mwite Mason Greenwood ameondolewa mashtaka yote yanayofungamana na ubakaji  yaliyowasilishwa kortini dhidi yake. Mason Greenwood mwenye umri wa miaka 21  alikamatwa mapema mwaka jana baada ya madai kuibuka kwamba amehusika kwenye shambulio la ubakaji hasa baada ya  picha na […]

MASON GREEENWOOD APATA UHURU BAADA YA MASHTAKA DHIDI YAKE KUONDOLEWA Read More »

MATHARE UNITED YAMFUTA KAZI BONIFACE OMONDI

Klabu ya Mathare United imethibitisha kumfuta kazi mkufunzi Boniface Omondi kufuatia muendelezo wa matokeo mabaya tangia kuanza kwa msimu huu. Chini ya uongozi wa Omondi Mathare United inasimama katika nafasi ya mwisho ligini na alama nne pekee wakiwa wamepoteza mechi nane, kupiga sare mara moja na kupata ushindi mara moja pekee. Kufuatia kufutwa kwa mkufunzi

MATHARE UNITED YAMFUTA KAZI BONIFACE OMONDI Read More »

KLABU YA VIHIGA BULLETS MASAIBU TELE LICHA YA KUDHAMINIWA NA KAUNTI

Mkufunzi mkuu wa klabu ya Vihiga Bullets George Owoko ametoa wito kwa wahisani kusaidia klabu hiyo ya ligi kuu nchini Kenya kipindi hiki ambacho klabu hiyo inapitia kipindi kigumu kifedha. Ukosefu wa udhamini bado unasalia kuwa saratani katika soka la Kenya na mkufunzi huyo ameomba shirikisho la soka pia kuwapiga shime ili kushiriki mechi zote

KLABU YA VIHIGA BULLETS MASAIBU TELE LICHA YA KUDHAMINIWA NA KAUNTI Read More »