TUTALETA VIFAA VYA MICHEZO MASHINANI – JACINTA MBEYU
Rais wa bunge la vijana katika kaunti ya Kilifi Jacinta Mbeyu ametoa hakikisho kwamba bunge la kaunti hiyo linalenga kutengeneza klabu ya mpira ya kaunti ambayo itawakilisha kaunti nzima katika mashindano mbalimbali ya soka. Kulingana na Mbeyu ni kuwa wizara ya michezo pamoja na mkurugenzi mkuu wa michezo katika kaunti hii wameanza mchakato wakuwinda talanta […]
TUTALETA VIFAA VYA MICHEZO MASHINANI – JACINTA MBEYU Read More »



