HABARI

USAFIRI ULITUPONZA WIKENDI, ASEMA COLLINS OMOL MKUFUNZI WA YANGA

Mkufunzi wa klabu ya Yanga Collins Omol kutoka mjini Malindi kaunti ya Kilifi, klabu inayocheza daraja la pili kitaifa anasema ugumu wa usafiri unasalia kuwa changamoto kubwa katika klabu yake kwa sasa jambo ambalo liliiponza Yanga katika mechi ya ugenini wikendi ilopita mjini Mombasa ambako walipoiga sare ya bao 1-1 dhidi ya klabu ya Ashton

USAFIRI ULITUPONZA WIKENDI, ASEMA COLLINS OMOL MKUFUNZI WA YANGA Read More »