HABARI

WAZIRI DAMA MASHA ASEMA WATAKABILIANA NA ONGEZEKO LA DHULUMA ZA KIJINSIA MIONGONI MWA WENYEJI WA KILIFI

Waziri wa michezo, tamaduni, sanaa na jinsia kaunti ya Kilifi Dkt. Dama Masha amesema wizara hiyo inalenga kukabiliana na ongezeko la dhulma za kijinsia miongoni mwa wanajamii kaunti ya Kilifi. Akizungumza kwenye mahojiano ya kipekee hapa Lulu fm, waziri Dama amesema akina mama, watoto na hata wazee ni miongoni mwa wanajamii wanaopitia dhulma nyingi katika […]

WAZIRI DAMA MASHA ASEMA WATAKABILIANA NA ONGEZEKO LA DHULUMA ZA KIJINSIA MIONGONI MWA WENYEJI WA KILIFI Read More »

MAHAKAMA YA MALINDI YATUPILIA MBALI KESI ILIYOWASILISHWA KUPINGA USHINDI WA GAVANA MUNG’ARO WA KILIFI

Mahakama kuu ya Malindi kaunti ya Kilifi imetupilia mbali kesi iliyowasilishwa katika mahakama hiyo ili kupinga ushindi wa gavana wa kaunti ya Kilifi Gedion Mung’aro ulioandaliwa Agosti tisa mwaka jana wa 2022. Akitoa uamuzi huo jaji wa mahakama hiyo ya Malindi Anne Onginjo, amesema kesi hiyo ilikosa ushahidi wa kutosha na kusababisha kutupiliwa mbali. Jaji

MAHAKAMA YA MALINDI YATUPILIA MBALI KESI ILIYOWASILISHWA KUPINGA USHINDI WA GAVANA MUNG’ARO WA KILIFI Read More »