HABARI

TULILEMEWA NA UCHOVU LAKINI WIKENDI IJAYO TUTASHINDA – BENARD LUSI

Nahodha wa klabu ya Malindi Progressive mwite Bernard Lusi anasema uchovu wa wachezaji kutokana na changamoto ya usafiri ndio jambo kubwa lililowaponza wikendi ilopita walipopiga sare ya bao 1-1 dhidi ya klabu ya Kibera Soccer jijini Nairobi. Kulingana na Lusi ni kwamba basi lao walilokuwa wameabiri liliharibika katikati ya safari tukio ambalo liliwafanya kuchelewa kufika […]

TULILEMEWA NA UCHOVU LAKINI WIKENDI IJAYO TUTASHINDA – BENARD LUSI Read More »

MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI VINAENDELEA KUONGEZEKA ENEO LA CHANGAMWE

Afisa wa afya ya umma kaunti ndogo ya Changamwe kaunti ya Mombasa, Boniface Mbindyo amesema kuwa idadi ya maambukizi ya virusi vya ukimwi imefikia elfu 39 katika kaunti ndogo hiyo. Mbindyo amesema kuwa kuna haja ya hamasa kwa umma kuimarishwa kuhusiana na mbinu za kujikinga dhidi ya maambukizi ya virusi vya ukimwi ili kuona kwamba

MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI VINAENDELEA KUONGEZEKA ENEO LA CHANGAMWE Read More »

WAZAZI KAUNTI YA KILIFI WATAKIWA KUKUZA VIPAJI NA TALANTA ZA WATOTO WAO

Waziri wa michezo, sanaa, tamaduni, jinsia, vijana, michezo na huduma za jamii kaunti ya Kilifi, Dkt. Dama Masha amewataka wazazi katika jamii kujukumika katika kuwakuza wanao kiupande wa vipaji na talanta kama mbinu mojawapo ya kuwaimarisha. Akizungumza katika mahojiano ya kipekee na Lulu fm, waziri Dama amesema kuwa walimu pia wanajukumu la kuwainua wanafunzi kwa

WAZAZI KAUNTI YA KILIFI WATAKIWA KUKUZA VIPAJI NA TALANTA ZA WATOTO WAO Read More »