HURIA YAANDAA MAONYESHO YA UTAMADUNI KWENYE UKUMBI WA TONONOKA
Mkurugenzi Mkuu wa shirika la kutetea haki za kibinadamu la HURIA Yusuf Lule amesema maomyesho ya utamaduni ambayo yaliandaliwa jana kwenye ukumbi wa Tononoka kaunti ya Mombasa na kuwaleta pamoja wanawake wa jamii mablimbali yalipania kuhamasisha dhidi ya dhuluma za kijinsia. Kulingana na Lule wanashirikiana na shirika la SEARCH FOR COMMON GROUND kuhamasisha wanawake wa […]
HURIA YAANDAA MAONYESHO YA UTAMADUNI KWENYE UKUMBI WA TONONOKA Read More »



