ADEBAYOH ASTAFU SOKA
Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Togo Emmanuel Adebayo ametangaza rasmi kusafu soka la ushindani baada ya kushiriki kabumbu hilo kwa kipindi cha miaka 22. Nyota huyo mwenye umri wa miaka 39 anastafu soka akiwa amefunga mabao 97 ndani ya mechi 241 akiwa ligi kuu nchini uingereza ambako amechezea vilabu kadhaa ikiwemo Arsenal kuanzia mwaka […]
ADEBAYOH ASTAFU SOKA Read More »



