VIONGOZI WALIOKAMATWA WAKIANDAMANA KUFIKISHWA MAHAKAMANI SIKU YA ALHAMISI
Kiongozi wa wachache katika bunge la seneti ambaye na pia seneta wa kaunti ya Kilifi, Stewart Madzayo, mbunge Opiyo Wandayi, mbunge Amina Mnyazi, mbunge Ken Chonga wanatarajiwa kufika mahakamani siku ya Alhamisi. Viongozi hao watajibu mashtaka ya kukusanyika pasipo kibali yani illegal assembly. Hii ni baada ya wabunge hao kutiwa mbaroni mapema hapo jana kabla […]
VIONGOZI WALIOKAMATWA WAKIANDAMANA KUFIKISHWA MAHAKAMANI SIKU YA ALHAMISI Read More »



