MATOKEO YA DARAJA LA PILI KITAIFA, FURUNZI YACHEMKA ALASKAN
Klabu ya Yanga inayoongopzwa na mkufunzi Collins Omol iliitandika Furunzi Fc ya Mkufunzi Nero Chishenga kichapo cha mabao 4-1 katika derby ya kaunti ya kilifi. Ni mechi ambayo ilishuhudia kadi tatu nyuekundu zikitenbea kwa wachezaji huku Furunzi FC ikipokea mbili na Yanga Kadi moja ukiwa ni mchezo wa pili wawili hawa wanakutana ikizingatiwa kwamba katika […]
MATOKEO YA DARAJA LA PILI KITAIFA, FURUNZI YACHEMKA ALASKAN Read More »



