WAUMINI WA KANISA LA METHODIST MJINI MALINDI WAPATA AFUENI
Ni afueni kwa waumini wa kanisa la Malindi Methodist mjini Malindi kaunti ya Kilifi baada kurejea katika kanisa lao lililokuwa limefungwa kwa miaka mitat kutokana na kile wanachodai kuchangiwa na uongozi mbaya wa dhehebu hilo nchini. Wakiongozwa na Askofu wa dhehebu hilo ukanda huu wa Pwani, Gambo Davis Matano ametaja suala la waumini wa dhehebu […]
WAUMINI WA KANISA LA METHODIST MJINI MALINDI WAPATA AFUENI Read More »



