JAMII YA WAMAKONDE KAUNTI YA KWALE YADAI KUTENGWA
Mwenyekiti wa jamii ya Wamakonde kaunti ya Kwale Thomas Nguli amesema jimii hiyo eneo bunge Msambweni imekuwa ikitengwa na serikali ya kaunti hiyo kwenye masuala ya ajira. Nguli amesema licha kutambuliwa rasmi kama Wakenya hawajakuwa wakihusishwa katika masuala ambayo yanahusu serikali ya kaunti ya Kwale. Aidha, ameipongeza serikali ya kitaifa kwa kuwatambua na kuwapa nafasi […]
JAMII YA WAMAKONDE KAUNTI YA KWALE YADAI KUTENGWA Read More »



