WAZAZI ENEO LA WATAMU WAHIMIZWA KUTHAMINI MASOMO YA WATOTO WAO
Wazazi katika wadi ya Watamu eneo bunge la Kilifi Kaskazini kaunti ya Kilifi, wametakiwa kuchukulia kwa uzito zaidi suala la masomo ya watoto wao ili kuhakikisha wananufaika maishani. Wito huo umetolewa na baadhi ya viongozi katika wadi hiyo wakiongozwa na mwenyekiti wa kamati ya fedha za WARD SCHOLASHIP FUND, Shebwana Mohammed pamoja na aliyekuwa mwakilishi wa […]
WAZAZI ENEO LA WATAMU WAHIMIZWA KUTHAMINI MASOMO YA WATOTO WAO Read More »



