HABARI

Ferdinand Omanyala /Picha Kwa hisani

OMANYALA AIBUKA BINGWA KWENYE MASHINDANO YA GRAND PRIX AFRIKA KUSINI

Ferdinand Omanyala alianza msimu wake vyema kwa kutumia muda wa sekunde 10.12 katika mkondo wa kwanza wa Msururu wa ASA Grand Prix nchini Afrika Kusini. Mwanariadha huyo mwenye kasi zaidi barani Africa aliongoza World Athletics Continental Tour kwenye Uwanja wa riadha wa Tuks mjini Pretoria Jumatano jioni. Omanyala aliwapiku washiriki 7 wengine japo hakuweza kufanikiwa

OMANYALA AIBUKA BINGWA KWENYE MASHINDANO YA GRAND PRIX AFRIKA KUSINI Read More »