HABARI

VIONGOZI WA KISIASA KAUNTI YA MERU WATAKIWA KUDUMISHA UMOJA.

Viongozi wa kaunti ya Meru wamesisitizwa kudumisha umoja kati yao na kuhakikisha kuwa jamii za eneo hilo zinaishi kwa amani. Ni wito ambao umetolewa na rais William Ruto, katika kikao na viongozi wa kisiasa eneo hilo, ambapo amewasisitiza kusaidiana katika kuwaleta wananchi wa eneo hilo pamoja. Rais Ruto amesema kuwa hatua yao, kudumisha umoja itawasaidia […]

VIONGOZI WA KISIASA KAUNTI YA MERU WATAKIWA KUDUMISHA UMOJA. Read More »

SERIKALI YA KITAIFA YATAKIWA KUTATAUA CHANGAMOTO ZA WANANCHI KAUNTI YA TANA RIVER.

Wito umetolewa kwa viongozi wa kitaifa kushirikiana na wale walioko katika kaunti ya Tana River ili kutatua changamoto za kiusalama eneo hilo. Wakiongozwa na gavana wa kaunti hiyo Dhadho Godana wamesema kuwa kuna haja ya serikali kutatua vita vya mara kwa mara katika kaunti hiyo. Gavana huyo amelalamikua suala la wananchi kuwawa na rasilimali zao

SERIKALI YA KITAIFA YATAKIWA KUTATAUA CHANGAMOTO ZA WANANCHI KAUNTI YA TANA RIVER. Read More »

TAIFA LA KENYA LAJITAHIDI KATIKA KULINDA WANANCHI WAKE DHIDI YA MALARIA.

Kenya imepiga hatua kubwa zaidi katika kukabiliana na maradhi ya malaria katika maeneo tofauti ya taifa hili. Haya ni kulingana na katibu wa huduma za afya nchini daktari Mary Muthoni, ambaye amesema, kwa kutumia mfumo wa kidijitali, takriban wakenya milioni 28 katika kaunti 24 za taifa hili walinufaika na neti zilizotibiwa. Katika taarifa yake kwa

TAIFA LA KENYA LAJITAHIDI KATIKA KULINDA WANANCHI WAKE DHIDI YA MALARIA. Read More »