HABARI

WAKENYA WOTE NCHINI WAAHIDIWA KUPATA MIRADI YA MAENDELEO.

Mkuu wa watumishi wa umma nchini Felix Koskei amesema kuwa serikali ya kitaifa haijatenga eneo lolote kimaendeleo katika taifa hili. Koskei amesema kuwa sharti wakenya wa maeneo yote humu nchini wanufaike na miradi ya maendeleo, ikatoyoboresha maisha mashinani. Akizungumza katika kaunti ya Marsabit, Felix amesema kuwa tayari wanakandarasi, wamerejeshwa katika maeneeo tofauti ya taifa hili, […]

WAKENYA WOTE NCHINI WAAHIDIWA KUPATA MIRADI YA MAENDELEO. Read More »

WIZARA YA UCHUKUZI YATAKIWA KUWEKA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA VISA VYA AJALI ZA NDEGE ZA MALINDI KAUNTI YA KILIFI.

Mbunge wa Malindi kaunti ya Kilifi, Amina Mnyazi ameitaka wizara ya uchukuzi, kupitia kamati yake kwenye bunge la kitaifa, kuweka wazi mikakati iliyoko, katika kupunguza visa vya ajali za ndege kwa wanafunzi wanao somea urubani. Kulingana na Mnyazi, licha ya kuwepo kwa uchunguzi kuhusiana na chanzo cha ajili ya ndege, iliyosababisha vifo vya watu wawili

WIZARA YA UCHUKUZI YATAKIWA KUWEKA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA VISA VYA AJALI ZA NDEGE ZA MALINDI KAUNTI YA KILIFI. Read More »

WAUMINI WA KANISA LA NEW FOUNDATION WAKWEA “MTI WA UZIMA” ILI KUPATA SULUHU LA MATATIZO YAO.

Idara ya usalama katika kaunti ya Kilifi imemkata mchungaji wa kanisa la New Foundation, Abel Kahindi Gandi katika eneo la Chakama kule Magarini kaunti ya Kilifi, ambapo waumini wa kanisa hilo, wanadaiwa kupoteza maisha katika hali tatanishi, wakati wakiendelea kupokea huduma za mchungaji huyo. Naibu kamishna eneo bunge la Kilifi Kaskazini, Samuel Mutisya ambaye ameongoza

WAUMINI WA KANISA LA NEW FOUNDATION WAKWEA “MTI WA UZIMA” ILI KUPATA SULUHU LA MATATIZO YAO. Read More »