HABARI

MAAFISA WA SERIKALI WADAIWA KUCHANGIA PAKUBWA KATIKA VISA VYA ULANGUZI WA BINADAMU.

Afisa wa dharura katika shirika la kutetea haki za kibinadam la MUHURI, kaunti ya Mombasa Francis Auma amepinga vikali suala la kubuniwa kwa kitengo maalum cha kukabiliana na ulanguzi wa binadamu nchini. Kulingana na Auma, kubuniwa kwa kitengo hicho ni njia mojawapo ya kuharibu fedha za umma kwani ufisadi ndiyo chanzo cha wakenya kuuzwa kuwa […]

MAAFISA WA SERIKALI WADAIWA KUCHANGIA PAKUBWA KATIKA VISA VYA ULANGUZI WA BINADAMU. Read More »

FAMILIA YA MAREHEMU MWAKILISHI WADI YA KARIOBANGI KASKAZINI KAUNTI YA NAIROBI YASUBURU UPASUAJI KUFANYIKA LEO.

Upasuaji wa maiti ya mwakilishi wadi wa Kariobangi Kaskazini, kaunti ya Nairobi, Joel Munuve, utafanyika leo katika juhudi za kutaka kubaini kiini cha kifo chake. Familia ya marehemu mwanasiasa huyo, kupitia kwa wakili Dunston Omari, ilitaka upasuaji kufanyika ili kuondoa uvumi unaozagaa kuhusiana na chanzo cha kifo chake. Idara ya DCI pia, imeingilia kati uchunguzi

FAMILIA YA MAREHEMU MWAKILISHI WADI YA KARIOBANGI KASKAZINI KAUNTI YA NAIROBI YASUBURU UPASUAJI KUFANYIKA LEO. Read More »

DENI LA SHA KWA SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI LATISHIA KULEMAZA HUDUMA ZA AFYA.

Wito umetolewa kwa bunge la seneti kusaidia serikali ya kaunti ya Kilifi kupokea malipo yake ya zaidi ya shilingi milioni mia tatu, kutoka kwa bima ya afya ya zamani NHIF na ile ya sasa ya SHIF. Kulingana na gavana wa kaunti ya Kilifi, Gideon Maitha Mung’aro, licha ya wakaazi wa kaunti ya Kilifi kuendelea kupokea

DENI LA SHA KWA SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI LATISHIA KULEMAZA HUDUMA ZA AFYA. Read More »