SERIKALI KUU YATAKIWA KUWAPANDISHA VYEO POLISI KAUNTI YA LAMU.
Gavana wa Kaunti ya Lamu Isaa Abdallah Timammy amewataka maafisa wa polisi waliohudumu kwa muda mrefu Kaunti hiyo kuhamishwa. Timammy akidokeza kuwa maafisa hao, hupitia wakati mgumu, kwani wakati mwingi wamekuwa wakikabiliana na magaidi wa Alshabaab. Gavana huyo ameongeza kuwa maafisa hao wanafaa kupandishwa vyeo ili kunufaika na jitihada zao za kuhakikishia wananchi wa kaunti […]
SERIKALI KUU YATAKIWA KUWAPANDISHA VYEO POLISI KAUNTI YA LAMU. Read More »



