MAAFISA SITA WA KWS WAFIKISHWA MAKAMANI KUFUATIA KISA CHA MVUVI MMOJA KUPOTEA MWEZI FEBRUARI MWAKA HUU 2025 KAUNTI YA NAKURU.
Huenda familia ya Brian Odhiambo, mvuvi aliyetoweka baada ya kukamtwa na maafisa wa polisi Kule Naivasha ikapata haki baada ya maafisa sita wa KWS kufikishwa mahakamani hii leo kule kaunti ya Nakuru. Kwa mujibu wa wakili wa familia hiyo Abuya Mogendi, kwa sasa uchunguzi ambao umekuwa ukiendelezwa na maafisa wa DCI kuhusiana na kisa hicho, […]



