HABARI

MCHUNGAJI WA KANISA LA NEW LIFE KAUNTI YA KILIFI EZEKIEL ODERO AKAMATWA NA MAAFISA WA POLISI.

Mshirikishi wa utawala kanda ya Pwani Rodah Onyancha amedhibitisha kukamatwa kwa mchungaji wa kanisa la New Life Prayer Center, Ezekiel Odero katika eneo la Mavueni kaunti ya Kilifi Mapema hii leo. Kulingana na mshirikishi huyo ni kuwa mchungaji huyo, alikamatwa kutokana na kuwepo kwa madai ya vifo vya baadhi ya waumini wake, ambavyo wanadai vimekuwa […]

MCHUNGAJI WA KANISA LA NEW LIFE KAUNTI YA KILIFI EZEKIEL ODERO AKAMATWA NA MAAFISA WA POLISI. Read More »

TOTTENHAM HOTSPURS YAFIDIA MASHABIKI BAADA YA KIPIGO CHA AIBU

Klabu ya Tottenham Hotspurs imeamua kufidia gharama ya tikiti kwa mashabiki wake baada ya tukio la jumapili ambapo Spers walipigwa kichapo cha aibu cha mabao 6-1 dhidi ya Newcastle United katika uwanja wa St James Park. Klabu hiyo imetoa taarifa kwamba imehuzunishwa na kipigo hicho ambacho ni chungu kwa mashabiki hivyo kuamua kuwarudishia hela wanunue

TOTTENHAM HOTSPURS YAFIDIA MASHABIKI BAADA YA KIPIGO CHA AIBU Read More »